Dhana ya Ujasiriamali ina maana pana , miongoni mwa hizo ni;
Mjasiriamali ni mtu ambaye ana hamasa kubwa ya kuleta mabadiliko chanya
katika hali yake ya kiuchumi ambaye ana tabia za kipekee ili
kufanikisha azma yake hiyo kwa kujishuhulisha (yaani kujiajiri) ili awe
na hali nzuri zaidi kiuchumi.
Ujasiriamali ni kitendo cha kuwa na tabia ya "Uthubutu". Hii tunaweza kuufananisha na uwezo (fursa) wa kutafuta masoko na kubuni vyanzo vipya vya biashara (Opportunities) ili mradi kuweza kuzalisha mali ama kutoa huduma itakayopelekea kuongeza kipato.
Ni mtafutaji Jasiri, anayethubutu kuamua kufanya biashara, mwenye uwezo wa kutambua mapema fursa mbalimbali za biashara, kukabiliana na vikwazo, na kutengeneza faida ya biashara hiyo.
Ujasiriamali ni sawa na usanii ambao ni lazima uingie ucheze sehemu yako mwenyewe. Mara nyingi bila kuwapo usimamizi wa biashara na uwepo wako unaweza kupoteza mwelekeo.
Pia katika hali nyingine
Mjasiriamali anaweza kuwa mtu yoyote ambaye anajishughulisha
mwenyewe(amejiajiri) katika sekta fulani mfano: kilimo, ufugaji au
biashara.
Ujasiriamali ni kitendo cha kuwa na tabia ya "Uthubutu". Hii tunaweza kuufananisha na uwezo (fursa) wa kutafuta masoko na kubuni vyanzo vipya vya biashara (Opportunities) ili mradi kuweza kuzalisha mali ama kutoa huduma itakayopelekea kuongeza kipato.
Hata
hivyo yote haya yanahitaji muda, fedha na juhudi binafsi (Hii ni sawa
na ile dhana inayojulikana kama: "Mtaji wa masikini ni nguvu zake
mwenyewe").
Sifa za Mjasiariamali
Ni mtafutaji Jasiri, anayethubutu kuamua kufanya biashara, mwenye uwezo wa kutambua mapema fursa mbalimbali za biashara, kukabiliana na vikwazo, na kutengeneza faida ya biashara hiyo.
Ujasiriamali ni sawa na usanii ambao ni lazima uingie ucheze sehemu yako mwenyewe. Mara nyingi bila kuwapo usimamizi wa biashara na uwepo wako unaweza kupoteza mwelekeo.
No comments:
Post a Comment